Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza matokeo ya Uraisi na kumtaja Mhe DrJohn Pombe Magufuli mgombea Uraisi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi kuwa mshindi na Rais Mteule - Hivyo Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Damian Z. Lubuva
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza kuwa Mshindi kwa asilimia 58.46%
Huku Vyama vingine vya siasa kama chadema [37.97%] kwa maelezo zaidi tutaendelea kukujuza bofya hapa kufahamu zaidi http://www.hakingowi.com/2015/10/rais-ni-magufuli-tume-yamtangaza.html
MATOKEO
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA RAIS SAMIA KUANZA RASMI MKOA WA TANGA
APRILI 8 MWAKA HUU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
KAMPENI ya Msaada wa kisheria ya Rais Dkt Samia Suluhu “Mama Samia Legal
Aid Campaign” inatarajiwa kuanza kutoa huduma za msaada ...
6 hours ago
0 comments:
Post a Comment