Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza matokeo ya Uraisi na kumtaja Mhe DrJohn Pombe Magufuli mgombea Uraisi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi kuwa mshindi na Rais Mteule - Hivyo Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Damian Z. Lubuva
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza kuwa Mshindi kwa asilimia 58.46%
Huku Vyama vingine vya siasa kama chadema [37.97%] kwa maelezo zaidi tutaendelea kukujuza bofya hapa kufahamu zaidi http://www.hakingowi.com/2015/10/rais-ni-magufuli-tume-yamtangaza.html
MATOKEO
WAZIRI MKENDA AWATAKA WATHIBITI UBORA KURIPOTI CHANGAMOTO ZA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda, amewataka Wathibiti
Ubora wa Shule kuhakikisha wanatoa taarifa kwa wak...
10 hours ago


0 comments:
Post a Comment