Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza matokeo ya Uraisi na kumtaja Mhe DrJohn Pombe Magufuli mgombea Uraisi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi kuwa mshindi na Rais Mteule - Hivyo Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Damian Z. Lubuva
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza kuwa Mshindi kwa asilimia 58.46%
Huku Vyama vingine vya siasa kama chadema [37.97%] kwa maelezo zaidi tutaendelea kukujuza bofya hapa kufahamu zaidi http://www.hakingowi.com/2015/10/rais-ni-magufuli-tume-yamtangaza.html
MATOKEO
DKT.NCHIMBI ASHIRIKI KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MKOANI DODOMA
-
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM)
ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano ...
1 day ago


0 comments:
Post a Comment