Akizungumza na wananchi wa Jimbo LA Korogwe amesema endapo watamchagua Yeye na jump a fursa kuiongoza Tanzania ameahidi kuwa makini na kuleta Maendeleo ya kweli kwa watanzania wote na pia amewasisitiza kuwachagua Wabunge na madiwani wa Ukawa katika Jimbo LA korogwe huku akisisitiza kurekebisha Elimu pamoja na Hospitali ya wilaya Magunga na kusema pia tatizo LA maji nalo litakwisha
DKT.NCHIMBI ASHIRIKI KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MKOANI DODOMA
-
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM)
ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano ...
1 day ago