Kingunge ajitoa rasmi ccm leo Alipokataa kuunga mkono muswada aliitwa
Siku ya pili akatangazwa ameachishwa ukuu."Kwenye masuala ya
kimsingi mimi hua Sikubaliani na yaliyotokea Dodoma".Alisema Ni uvunjifu wa
katiba, kuwadhalilisha wagombea waliokuwa na haki ya kufika kamati kuu
na kuhojiwa na wajumbe
Waliambiwa wazunguke mikoa kumi kutafuta wadhamini kwa gharama
zao....wanakuja wanaishia mlangoni kwa kamati kuu!
Kingunge amesema hawezi kushirikia na Chama chenye Ubaguzi kisichoangalia nini wananchi wanataka na Kusema CCM haiwezi kuiletea tena Tanzania Maendeo kwa sasa na kuwaasa watanzania kufanya Mabadiliko yatakayowafikisha kwenye maendeleo katika Taifa letu
Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
-
*By Dr. Herman Louise Verhofstadt*
* “A BIT like President Donald Trump, Tanzania’s president, John Magufuli,
likes to fire employees on television. In No...
Karibu sana kwenye blog hii unaweza kutuma Tangazo lako na ukatangaza Biashara yako kwa bei nafuu kabisa wasiliana nami kwa simu 0715357038
Welcome to this blog you can send your ad and advertise your business for very cheap contact me by phone 0715357038
0 comments:
Post a Comment