Msanii wa Nyimbo za Injili kutokea Ulaya ifyeanyi katikati akiwasili leo katika uwanja wa Kimataifa wa Julias Nyerer tayari kushiriki katika Tamasha leo la kuliombea Taifa Amani.Kulia ni Mkurugenzi wa Msama Promotion Alex Msama na kushoto ni mratibu Hudson kamoga
Tamasha Hilo ambalo litahudhuriwa na maelfu Ya Watanzania huku Viongozi zaidi ya wachungaji 200 pamoja na maaskofu zaidi ya 50 kushiriki
kwa habari zaidi bofya hapa @http://issamichuzi.blogspot.com/2015/10/jk-kuongoza-maelfu-kuombea-amani.html
Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
-
*By Dr. Herman Louise Verhofstadt*
* “A BIT like President Donald Trump, Tanzania’s president, John Magufuli,
likes to fire employees on television. In No...
Karibu sana kwenye blog hii unaweza kutuma Tangazo lako na ukatangaza Biashara yako kwa bei nafuu kabisa wasiliana nami kwa simu 0715357038
Welcome to this blog you can send your ad and advertise your business for very cheap contact me by phone 0715357038
0 comments:
Post a Comment