Akizungumza na wananchi wa Jimbo LA Korogwe amesema endapo watamchagua Yeye na jump a fursa kuiongoza Tanzania ameahidi kuwa makini na kuleta Maendeleo ya kweli kwa watanzania wote na pia amewasisitiza kuwachagua Wabunge na madiwani wa Ukawa katika Jimbo LA korogwe huku akisisitiza kurekebisha Elimu pamoja na Hospitali ya wilaya Magunga na kusema pia tatizo LA maji nalo litakwisha
BALOZI DKT KUSILUKA: e-GA ZINGATIENI ULINZI NA USALAMA WA TAARIFA BINAFSI.
-
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amefungua rasmi Kikao
kazi cha sita cha Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) leo 17 februari 2026
jijini Ar...
15 hours ago
0 comments:
Post a Comment