Akizungumza na wananchi wa Jimbo LA Korogwe amesema endapo watamchagua Yeye na jump a fursa kuiongoza Tanzania ameahidi kuwa makini na kuleta Maendeleo ya kweli kwa watanzania wote na pia amewasisitiza kuwachagua Wabunge na madiwani wa Ukawa katika Jimbo LA korogwe huku akisisitiza kurekebisha Elimu pamoja na Hospitali ya wilaya Magunga na kusema pia tatizo LA maji nalo litakwisha
RAIS MSTAAFU KIKWETE :JUKWAA LA UONGOZI AFRIKA NI MUHIMU KATIKA KUKUZA
MAZUNGUMZO YA UWAZI, KUJENGA FURSA
-
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete
amesema tangu kuanzishwa kwa Jukwaa la Uongozi la A...
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment